Mwili wa marehemu MzeeMajuto umefikishwa katika msikiti wa Maamur-Upanga. Baada ya swala ya mchana utapelekwa Karimjee na familia Imeeleza kwamba wanatarajia kuanza safari ya kuelekea Tanga ifikapo saa 10 Jioni.
Mwili wa marehemu MzeeMajuto umefikishwa katika msikiti wa Maamur-Upanga. Baada ya swala ya mchana utapelekwa Karimjee na familia Imeeleza kwamba wanatarajia kuanza safari ya kuelekea Tanga ifikapo saa 10 Jioni.