Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Nyang’hwale, mkoani Geita, Hamim Gwiyama amefariki dunia leo Mei 7, 2020 katika Hospitali ya Rufaa ya Bugando jijini Mwanza baada ya kuugua kwa muda mfupi.
Tanzia pic.twitter.com/GMmMHtf5aW
— Msemaji Mkuu wa Serikali (@TZMsemajiMkuu) May 7, 2020
Kifo chake kimetangazawa na Waziri wa TAMISEMI Selemani Jafo. Gwiyama aliteuliwa kushika wadhifa huo Juni 26, 2016.




