Nedy Music Akanusha kuimba Kilichomkuta kwenye ‘Acha Iwe’

Nyota wa muziki nchini Tanznaia, Nedy Music amesema kuwa kinachosikika kwenye kwenye wimbo wake mpya ‘Acha Iwe’ sio kisa kilichomtea yeye kama baadhi ya amshabiki wanavyodhani.

Nedy alieleza kuwa alichoimba kwenye wimbo huo ni kujaribu kuwakilisha mawazo ya wapenzi ambao walisha pitia kutendwa kimapenzi na kuamua kuacha na kukbaliana na hali ya kutendwa..

Latest articles

spot_imgspot_img

Related articles

Leave a reply

Please enter your comment!
Please enter your name here

spot_imgspot_img