Msanii wa muziki kutoka Tanzania, Mwenye makazi yake chini Ufaransa, Vasmo ameachia wimbo wake mpya baada ya kimya cha miezi miwili tangu aachie kazi yake ‘Niumie’.
Vasmo ameachia wimbo mpya kwa jina ‘Nipe’, Mei 1 2020 kupitia Channel yake kwenye Mtandao wa YouTube, wimbo ambao umetoka sambamba na video iliyoandaliw nchini Ufaransa.
Audio ya Wimbo huo imetayarishwa na Producer True Name nchini Tanzania akishrikiana na Producer Mosess Beats wa nchini. Ghana. Video imechukuliwa na Safouane na kuhaririwa na Dam koman wote kutoka nchini Ufaransa.
Itazame video ya wimbo huo hapa chini.




