Juss Aachia video ya kazi yake mpya ‘Hatuna Kazi Mbovu’

Msanii wa muziki wa kizazi kipya kutokea nchini Kenya, Jussneera ameachia video rasmi ya wimbo wake mpya uitwao ‘Hatuna Kazi Mbovu’.

Wimbo huo kutoka kwa Jussneera umetayarishwa na Mtanzania Bear chini ya Studio za Yarida Records huku vudeo ikiongozwa na Miwo Bp.

Tazama video ya wimbo huo hapa chini

Latest articles

spot_imgspot_img

Related articles

Leave a reply

Please enter your comment!
Please enter your name here

spot_imgspot_img