#BekaIbrozama amezoeleka akifanya matamasha kwa kutumia #Band huku akipiga copy ya nyimbo mbalimbali za hapa nyumbani na hata nje ya Tanzania. Hiki ndicho alichokifanya katika ngoma ya #KasimMganga walipokutana #life Club #Haiwezekani #Subira
#BekaIbrozama amezoeleka akifanya matamasha kwa kutumia #Band huku akipiga copy ya nyimbo mbalimbali za hapa nyumbani na hata nje ya Tanzania. Hiki ndicho alichokifanya katika ngoma ya #KasimMganga walipokutana #life Club #Haiwezekani #Subira