Staa wa muziki nchini Tanzania, Nedy Music yuko mbioni kuachia video ya wimbo aliomshirikisha Staa wa wimbo ‘Teyamo’, Singah kutoka Nigeria.
Video ya wimbo huo utakao kwenda kwa jina ‘Carino’ inatarajiwa kutoka rasmi hivi karibuni kwa mujibu wa Post za Singah na Nedy.
Wawili hawa mbali na kuwa na kolabo hiyo ya wimbo, Pia Singah yupo kwenye kolabo ya wimbo ambao umefanyika kati ya Jux na Nedy nchini Afrika Kusini.




