Siku ya Jana Mastaa kadhaa wa #FILAMU nchini walifika katika Uzinduzi wa Msimu wa Sikukuu na #StarTimes ambapo Kampuni hiyo ilizindua Ofa zake mbalimbali ikiwemo ya Lipa Tukubusti, Wasanii hao walipata fursa ya kuizungumzia Channel ya Star Swahili ambayo itakua inaonesha Filamu za Kibongo.
MASTAA MBALIMBALI NA WASHIRIKI WA BSS WANOGESHA MSIMU WA SIKUKUU NA STARTIMES/ LIPA TUKUBUSTI BALAA!
Related articles




