
Baraza la Sanaa la Taifa – BASATA limetoa ufafanuzi wa zawadi ya mshindi wa mwaka 2019 wa Mshindano ya kuimba ya BSS, Meshack Fukuta yanayofanyika chini ya Kampuni ya Benchmark Production baada ya fukuto la madai ya kuwa mshindi huyo hakupata malipo yake kama sehemu ya zawadi ya ushindi wake.




