Bundesliga Kurejea Kwa Sharti La Kansela Angela Merkel

Ligi kuu ya soka nchini Ujerumani Bundesliga imepanga ratiba ya kurejea rasmi Mei 22, 2020.

Ratiba hii imefikiwa baada ya Kansela Angela Merkel kutoa ruhusa kwa sharti ya vilabu vyote kuwaweka karantini wachezaji wao kwa wiki mbili kabla ya kurejea.

Awali iliripotiwa kuwa ligi hiyo ingerejea Mei 15, 2020.

Latest articles

spot_imgspot_img

Related articles

Leave a reply

Please enter your comment!
Please enter your name here

spot_imgspot_img