Katika kipindi hichi ambacho tupo nyumbani DStv inakuhakikishia kuwa nawe na kuhakiksha huwi mpweke kupitia tamthilia kali ndani ya chaneli pendwa maisha magic bongo.
Jumapili – Jumatatu SAA 3:30 usiku utapata kuburudika na kuvunja mbavu kupitia tamthilia ya vichekesho KITIMTIM .
Jumatatu -Ijumaa SAA 3 usiku ni mambo ya mapenzi kupitia tamthilia ya HUBA.
Tunazidi kunogesha uhondo kupitia Tamthilia ya Nyavu inayoruka siku za Jumatatu – Jumatano saa 1:30 usiku.
Huku ukipata kuburudika na Tamthilia ya Slay Queen siku za Jumatano – Ijumaa saa 3:30 usiku.
Yote haya utayapata kupitia kifurushi cha Bomba 19,000 tu.
#TupoNawe,




