Davido Na Kumbukumbu Ya Mwanae Wa Kwanza ‘Aurora Imade Adeleke’

Tarehe kama ya leo(Mei 14) mwaka 2015, Nyota wa muziki kutoka nchini Nigeria, David Adedeji Adeleke maarufu kama Davido na Bi. Sophia Ajibola Momodu walibarikiwa kupata mtoto wa kike, Aurora Imade Adeleke.

Davido na Sophia walitengana baadae kwa sababu za kutoelewana katika malezi ya mtoto huyu kwa mujibu wa Davido. Aurora Imade Adeleke ni mtoto wa kwanza kwa Davido na leo ametimiza umri wa miaka mitano(5).

Latest articles

spot_imgspot_img

Related articles

Leave a reply

Please enter your comment!
Please enter your name here

spot_imgspot_img