Mchekeshaji kutoka Marekani, Kevin Hart na Mkewe Eniko Parrish wanatarajia kupata mtoto wao wa pili kwa mujibu wa picha walizo post Mchekeshaji huyo na mkewe huyo kwenye kurasa zao za Instagram.

Kevin na Eniko wanatarajiw akupamta mtoto wao na huyu atakuwa ni mtoto wao wa pili baada ya kupata mtoto wao wa kwanza Kenzo Kash Hart mwenye miaka 2 sasa.
Wawili hawa waliweka wazi hilo kupitia kurasa zao za Instagram tarehe ya kuadhimisha siku ya mama Duniani ‘Mother’s Day’ Mei 10 2020.




