Msanii wa muziki kutoka nchini Kenya, Willy Paul amekanusha kupitia ukurasa wake wa Instagram, madai ya kuandikiwa nyimbo na msanii mwenzake, Bahati.
Willy Paul alinekana kurusha mzigo huo kwa bahati ya kuwa amesahau kuwa amekuwa akimuandikia msanii Weezdom akidhani ni Willy Paul.
Tazama ujumbe wa Willy Paul akikanusha hilo.




