Otile Brown Na Magix Enga Washiria Ujio wa kazi wakiwa Studio

Mwimbaji Otile Brown ‘OB’ na Mtayarishaji wa muziki, Magix Enga ‘Beat King’ wameonekana kuwa jikoni huku waliowengi wakitarajia kazi kutoka kwa wawili hao.

Wawili hao kutoka nchini Kenya, wamehisiwa kuwa wanaandaa kazi ikizingatiwa kuwa Magix ni mwenye uwezo wa kuandika, kuimba na kutayarisha muziki.

Latest articles

spot_imgspot_img

Related articles

Leave a reply

Please enter your comment!
Please enter your name here

spot_imgspot_img