Tanga Yapiga Marufuku Madereva Kutoka Kenya Kuingia Tanzania

Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Martine Shigella amepiga marufuku madereva wa magari ya mizigo ya kutoka Kenya kuingia nchini kupitia mpaka wa Horohoro.

Mkuu wa Mkoa wa Tanga Martine Shigella

RC Shigela aliweka wazi ruksa zitatoka kwa magari yatakayokuwa njiani kuelekea nchi jirani za Congo, Rwanda, Zambia na kwingineko yataruhusiwa kupita.

Latest articles

spot_imgspot_img

Related articles

Leave a reply

Please enter your comment!
Please enter your name here

spot_imgspot_img