Staa wa muziki nchini Tanzania, Nedy Music yuko mbioni kuachia video ya wimbo aliomshirikisha Staa wa wimbo ‘Teyamo’, Singah kutoka Nigeria.
Video ya wimbo huo...
Staa wa muziki kutoka Tanzania, Timbulo ameachia video ya wimbo wake mpya aliomshirikisha Jux 'Nashukuru'.
Wimbo huo umetayarishwa na Producer Mocco Genius huku video ikiongozwa...
Msanii wa muziki kutoka nchini Kongo mwenye makazi yake nchini Marekani, Mandi Classic ameachia video rasmi ya wimbo wame 'Nimemiss'.
https://www.youtube.com/watch?v=rmviWQZ8vUk
Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu imetoa hati ya kukamatwa kwa Msanii wa Filamu Tanzania, Wema Sepetu kwa kukiuka masharti ya dhamana.
Uamuzi huo umetolewa na...