General

LHRC Wachangia Vifaa Kinga, Mapambano Dhidi Ya Corona

Katika kukabiliana na mlipuko wa virusi vya corona, Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimeendelea kuchukua hatua mbalimbali ikiwemo kuendelea kutoa elimu...

Chief Wonder Kudondosha EP Yake Ya Kwanza Chini Ya Mazuu Records

Msanii wa muziki nchini Tanzania, AbdulKareem Haroun a.k.a 'Chief Wonder' kutoka lebo ya Mazuu Recrds ametangaza kuachia EP yake ya kwanza hivi karibuni. Wonder anayefanya kazi...

Uhondo wa Tamthilia ya ‘Nyavu’ Kupamba Moto Ndani ya DSTV

Ikiwa ulifanikiwa kutazama tamthilia ya Nyavu wiki iliyopita basi utakuwa unaelewa uhondo ndani yake. Naa ikiwa hukuifuatilia wiki iliyopita basi hujachelewaa mbambo ndo kwanza yanaanza....

Stamina Aruka Ushauri Wa Roma kuhusu Ndoa, Director Aeleza Juu ya Penzi Jipya.

Wakali wa muziki wa rap wa kujibizana wanaounda Umoja wao wa kisanaa, Roma na Stamina wanaojiita 'ROSTAM' kwenye video ya wimbo wao 'Kaka Tuchati'...

Tanasha Donna Amshukuru Diamond Platnumz Siku Ya Mama Duniani.

Tanasha Donna raia wa nchini Kenya mwenye umri wa miaka 23, katika kuadhimisha Siku ya wanawake Duniani ‘Mother's Day’ Mei 10 2020 ameandika ujumbe...

Stamina na Roma ‘ROSTAM’ Wawasiliana Kuzungumzia Janga La Corona

Wasanii wanaounda umoja wa wao kwa jina 'ROSTAM', Roma na Stamina wameachia wimbo wa pamoja uliobeba maudhui ya mlipuko wa Virusi vinavyosababisha Ugonjwa wa...

DSTV Yaleta Uhondo na Darasa kwa watoto kufurahia na kujifunza wawapo nyumbani

  Katika kipindi hiki ambacho watoto wapo nyumbani, DStv inawapa watoto nafasi ya kujifunza kupitia chaneli Pop Primary 317, Da Vinci 318 , Jim Jam...

Rapper Tekashi69 Aingia Kwenye Rekodi Mpya Baada Ya Kutoka Jela

Rapper kutoka Marekani, Tekashi69 au 6ix9ine ameingia kwenye rekodi ya ‘Instagram Live’ ya kuwa Nyota wa muziki wa rap aliyetazamwa na watu wengi zaidi ‘Live’...

Tanzania Yapokea Msaada Wa Dawa Zinazofubaza Corona

Serikali ya Tanzania leo Mei 8 imepokea msaada wa dawa zinazofubaza Virusi vya Corona kutoka Serikali ya Madagascar. https://twitter.com/TZMsemajiMkuu/status/1258752766144589825

Latest articles

spot_imgspot_img