General

Otile Brown Na Magix Enga Washiria Ujio wa kazi wakiwa Studio

Mwimbaji Otile Brown 'OB' na Mtayarishaji wa muziki, Magix Enga 'Beat King' wameonekana kuwa jikoni huku waliowengi wakitarajia kazi kutoka kwa wawili hao. Wawili hao...

Mkongwe wa Muziki wa Dansi Mafumu Bilal Bombenga Afariki Dunia

Gwiji wa Saxophone na mwimbaji mkongwe wa muziki wa dansi nchini Tanzania, Mafumu Bilal Bombenga amefariki dunia usiku wa Mei 11, 2020. Mke wa Mafumu...

EX Wa Jux Ammiss Mapenzi wake baada ya kuwa mbali kwa Miezi kadhaa.

Mrembo Nayika Thongom ‘Nnayikaa’ raia wa Thailand mwenye umri wa miaka 25 aliyepata umaarufu zaidi Afrika Mashariki kwa kuwa kwenye Mahusiano ya kimapenzi na...

Kevin Hart Na Mkewe Eniko Parrish Wafichua Kutarajia Mtoto

Mchekeshaji kutoka Marekani, Kevin Hart na Mkewe Eniko Parrish wanatarajia kupata mtoto wao wa pili kwa mujibu wa picha walizo post Mchekeshaji huyo na mkewe...

Willy Paul Akanusha kuwahi kuandikiwa Wimbo Na Bahati

Msanii wa muziki kutoka nchini Kenya, Willy Paul amekanusha kupitia ukurasa wake wa Instagram, madai ya kuandikiwa nyimbo na msanii mwenzake, Bahati. Willy Paul alinekana...

Mpaka wa Tanzania na Zambia Wafungwa kupambana na Corona

Mpaka wa unaounganisha nchini ya Zambia na Tanzania umefungwa leo Mei 11 2020 kutekeleza Agizo la Rais wa Zambia, Edgar Lungu lililotolewa Mei 10 2020. ...

Vyombo vya Usalama Kenya Vyazuia Madereva Wa Tanzania

Madereva wa magari kutoka Tanzania wamezuiwa kuingia nchini Kenya katika mpaka wa Namanga hadi watakapopimwa ili kujua kama wanamaambukizi ya virusi vya Corona.

Goodluck Gozbert- Simu (Official video)

Msanii wa muziki wa Injili nchini Tanzania, Goodluck Gozbert ameachia wimbo kwa jina 'Simu' unaokumbusha juu ya kuchukua tahadhari ya kujinga na maambukizi ya...

Navy Kenzo Kuachia Album Yao Ya Pili Baada Ya ‘AIM’

Kundi maarufu la muziki kutoka nchini Tanzania; Navy Kenzo wanajiandaa kurudi na ujio wa album yao mpya, ya pili miaka mitatu baada ya AIM...

Latest articles

spot_imgspot_img