General

TFF Yatolea Maelezo ya Bilioni Moja Iliyotolewa na Rais Magufuli

Shirikisho la soka Tanzania (TFF) limetolea ufafanuzi pesa kiasi cha Tsh Bilioni 1 zilizotolewa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John...

Mpaka Wa Tanzania Na Zambia ‘Nakonde’ Wafunguliwa

Mpaka wa Zambia na Tanzania, ‘Nakonde/Tunduma’ umefunguliwa na shughuli zinaendelea kama kawaida, hii ni baada ya Nchi ya Zambia kufunga mpaka huo kwa kile...

Rhino The Don Arusha Cheche Za Ishara Ya Ujio Mpya, Corona Yampiga Mkono.

Msanii wa muziki kutoka nchini Marekani mzaliwa wa Tanzania, Rhino The Don amwaacha mashabiki katika tamanio la kuwapa mashabiki kazi mpya kwa jina 'Nipe...

Davido Na Kumbukumbu Ya Mwanae Wa Kwanza ‘Aurora Imade Adeleke’

Tarehe kama ya leo(Mei 14) mwaka 2015, Nyota wa muziki kutoka nchini Nigeria, David Adedeji Adeleke maarufu kama Davido na Bi. Sophia Ajibola Momodu...

Juliana Kanyomozi Apata Mtoto wa Kiume, Ataja jina lake.

Mwimbaji maarufu kutoka nchini Uganda, Juliana Kanyomozi amethibitisha kujifungua mtoto wa kiume, 12-05-2020. Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Juliana mwenye umri wa miaka 39, alithitisha hilo...

AY Adaka Dili Nono la Ubalozi wa Simu Mpya ‘Infinix Note 7’

Nyota wa muziki kutoka nchini Tanzania, Ambwene Allen Yessayah maarufu zaidi kama AY amepata dili la kibiashara la kuwa balozi wa simu mpya na...

Kijana Ashikiliwa Kwa Polisi kukutwa na Sare za JWTZ

Jeshi la polisi mkoani Kagera linamshikilia kijana mmoja aliyetambuika kwa jina Mrisho Ibrahimu kwa tuhuma za kukutwa na sare za jeshi la wananchi (JWTZ). Mrisho...

Maajabu Ya Gari Na Remote Mgahawani/hakuna Kugusana/inakufata Hadi Parking

    https://www.youtube.com/watch?v=MUhIWJtpiU0

Taurus Musik Yatangaza Kumsaini Msanii Mpya ‘Keemlyf’

Lebo ya muziki nchini Kenya, Taurus Musik imemtangaza rasmi msanii wa muziki 'Keemlyf' kuanza kufanya kazi chini ya lebo hiyo. Leo hiyo pamoja na kufanya...

Latest articles

spot_imgspot_img